GAVANA NATEMBEA AWATAKA WAKULIMA KUTOUZA MAHINDI YAO KWA MAWAKALA WATAPELI

Wito umetolewa kwa Wakulima wa mahindi kutoka kaunti ya Transnzoia kutouza mahindi yao kwa mawakala ambao watawapunja. Gavana wa kaunti hiyo George Natembea amesema kuwa serikali yake imeweka mikakati ya kuwekeza katika kiwanda cha kujongeza mahindi thamani akiongeza kuwa wakulima watapata faida ya mazao yao. Wakulima wanapendekeza kilo 90 za mahidi kuunzwa kwa shilingi 6000 […]

EKURU: HUENDA GACHAGUA AKATEMWA 2027

Huenda rais william Ruto akamteua mtu mwingine kuwa naibu wake katika uchaguzi mkuu ujao wa 2027 , hay ani kwa mujibu wa kiongozi wa chama cha Third way Alliance Ekuru Aukot. Aukot amesema kuwa mvutano kati ya rais William Ruto na naibu wake Rigathi Gachagua umesababisha sio tu mgawanyiko katika chama tawala cha ODM bali […]

WAKENYA WATAKIWA KUWASILISHA MAOMBI YA KAZI ILI KUPATA AJIRA UJERUMANI

Wakenya ambao wana taaluma na ambao wangependa kufanya kazi nje ya nchi wametakiwa kutuma maombi yao ya kazi. Katibu katika wizara ya maswala ya kigeni Roseline Njogu ameutetea mpango wa serikali wa kuwatuma wakenya kufanya kazi ugaibuni. Akitoa maelezo zaidi kuhusu mkataba wa kenya na ujerumani Njogu amesema kuwa wakenya wataonufaika kwa kupata ajira ujerumani […]

MWANAMKE MWENYE UMRI WA MIAKA 21 AKAMATWA KUFUATIA MAUAJI YA MUMEWE

Mwanamume mmoja katika kitongoji cha Matuu, Kaunti ya Machakos, ameuawa kwa kuchomwa kisu na mkewe mwenye umri wa miaka 21 katika kile kinaaminika kuwa mzozo wa kinyumbani. Kulingana na majirani wanaofahamu kisa hicho, mshukiwa alimdunga kisu mumewe baada ya kudai kuwa amekatishwa tamaa naye. Mwanamume huyo, 23, amedungwa kisu upande wa kushoto wa kifua kulingana […]

MBUNGE OCHIENG’ ATISHIA KUWASILISHA HOJA YA KUMTIMUA MASENGELI IWAPO HATAJIUZULU LEO

Mbunge wa Ugenya kaunti ya Siaya David Ochieng’ ametishia kuwasilisha hoja katika Bunge la Kitaifa ya kumtimua kaimu Inspekta Jenerali wa Polisi Gilbert Masengeli iwapo atakosa kujiuzulu hii leo. Kwa maoni ya Ochieng, Masengeli amethibitika kuwa mtu mhuni na hawezi kuaminiwa na jukumu muhimu la kusimamia jeshi la polisi la Kenya na kulinda raia na […]

WATU WANNE WAKAMATWA KUFUATIA WIZI WA PIKIPIKI HUKO TRANSNZOIA

Watu wanne wamekamatwa eneo la Kiminini katika kaunti ya Transnzoia kufuatia wizi wa Piki piki zaidi ya 60. Maafisa wa polisi katika kaunti ya Transnzoia kwa ushirikiano na wenzao wa kaunti ya Uasin Gishu wamefanikiwa kupata pikipiki hizo ambazo zinaaminika kuibiwa katika wizi wa kimabavu uliosababisha vifo vya watu watano. Wakaazi wamewapongeza maafisa wa polisi […]

TETESI ZA SOKA ULAYA- KLABU YA CRYSTAL PALACE INAMFUATILIA BEN CHILWELL

Timu ya Crystal Palace na Ipswich wote wanamfuatilia beki wa kushoto wa England na Chelsea Ben Chilwell kabla ya uhamisho wa Januari. Juhudi za Bayern Munich kumshawishi kiungo mkabaji Jamal Musiala, 21, kuongeza mkataba wake na klabu hiyo iko katika njia panda baada ya pande zote mbili kukosa kuelewana. Kwa sasa, mchezaji huyo wa kimataifa […]

TIMU YA BAYERN MUNICH INALENGA KUTWAA TAJI LA LIGI YA KLABU BINGWA BARANI ULAYA

Nahodha wa Bayern Manuel Neuer amesema kikosi chake kinapania kutwaa taji la ligi ya klabu bingwa barani. Bayern Munich ambao ni mabingwa mara sita wameonyesha matumaini yao ya kunyakua taji hilo baada ya kumaliza mashindano bila taji lolote msimu uliopita. Katika Ligi ya klabu bingwa barani Ulaya, Bayern ilitolewa katika nusu-fainali na Real Madrid, ambao […]

OMANYALA AORODHESHWA KATIKA NAFASI YA PILI KWENYE JEDWALI YA WANARIADHA WENYE KASI ZAIDI DUNIANI.

Ferdinand Omanyala ameorodheshwa katika nafasi ya pili ulimwenguni msimu huu kwenye jedwali la wanariadha wenye kasi zaidi duniani. Omanyala alishinda mbio za mita mia moja jijini Brussels Ubelgiji katika mashindano ya Diamond League kwa kuandikisha muda wa sekunde 10.07. Baada ya msimu wa msururu wa mbio za mwaka 2024, Omanyala ametua katika nafasi ya pili […]