KENYA KUANGAZIA UPYA MARUFUKU YA MITUMBA
Serikali ya Kenya inawazia kupiga marufuku uagizaji wa mitumba ili kufufua sekta ya ushonaji nchini, Wizara ya Biashara ikisema kuwa mitumba imedhoofisha viwanda vya nguo vya ndani. Kati ya mwaka 2019 hadi 2023, Kenya iliagiza mitumba ya thamani ya KSh 95.2 bilioni, huku kiwango kikiongezeka kwa asilimia 11.5 mwaka 2023 pekee. Hata hivyo, marufuku hiyo […]
English 


































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































