DUALE AELEKEZA FIMBO KWA WAKUU

Waziri wa afya Aden Duale amewaagiza wasimamizi wa mashirika ya umma yaliyo chini ya wizara yake kuhakikisha maslahi ya mkenya yanawekwa mbele mbali na kumaliza visa vya ufisadi kwenye mashirika hayo. Waziri huyo ametoa agizo hilo alipoongoza hafla ya kutia Saini mikataba ya utendakazi wa wenyeviti wa mashirika hayo. Imetayarishwa na Antony Nyongesa

MAGAVANA WALALAMIKIA UKOSEFU WA FEDHA

­Magavana wameitaka serikali kuu kutoa mgao wa kaunti wa miezi ya Februaria na Machi mwaka huu ili kuwawezesha kuendeleza utoaji huduma kwa wakazi wanazoesema zimeathirika kutokana na ukosefu wa fedha. Kwa mujibu wa gavana wa Kakamega Fernandez Barasa ambaye pia ni mwenyekiti wa kamati ya fedha katika baraza la magavana, kaunti zinaidai serikali kuu shilingi […]

USHURU MKUBWA NA KANUNI KALI ZA UAGIZAJI WA MAHINDI NCHINI KENYA

Serikali ya Marekani imeelezea wasiwasi wake kuhusu ushuru wa asilimia 50 unaowekwa na Kenya kwa mahindi yanayoagizwa kutoka nje ya Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC), pamoja na kanuni kali za usalama, ambazo zinazuia mahindi mengi kutoka Marekani kuingia katika soko la Kenya. Kulingana na gazeti la Business Daily, ingawa soko la mahindi la Kenya lina thamani ya […]

SERIKALI YA MAREKANI YAHOFIA ONGEZEKO LA UDANGANYIFU WA HATI ZA ARDHI NCHINI KENYA

Kwa mara ya kwanza katika ripoti rasmi ya biashara Mwakilishi wa Biashara wa Marekani ameelezea wasiwasi kuhusu ongezeko la udanganyifu wa hati za ardhi nchini Kenya, na kutahadharisha kwamba wawekezaji wanajiingiza kwenye hatari ya kulaghaiwa kupitia hatimiliki ghushi za ardhi zilizotolewa mara mbili, hasa wanapokuwa wanakodisha ardhi ambayo haijawahi kuendelezwa. Hii ni kutokana na udanganyifu […]

MANCHESTER UNITED WAJIANDA KWA MICHEZO YA KIRAFIKI

Manchester United imetangaza kwamba itacheza mechi za kirafiki nchini Malaysia na Hong Kong siku tatu baada ya kumalizika kwa msimu wa Ligi Kuu ya England. Kikosi cha kocha Ruben Amorim kitamenyana na timu ya ASEAN All-Star XI huko Kuala Lumpur mnamo Mei 28 na wawakilishi wa Hong Kong Mei 30. Watamaliza kampeni nyingine ya kusikitisha […]

ARSENALI WAWAPIKU REAL MADRID

Ligi ya Premia nchini England itahakikishiwa angalau timu tano katika makala yajayo ya Ligi ya Mabingwa ulaya 2025-26 kufuatia ushindi wa Arsenal wa 3-0 dhidi ya Real Madrid katika mkondo wa kwanza wa robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Jumanne. EPL ilihitaji ushindi mmoja pekee kutoka kwa vilabu vyake katika mashindano yoyote kati ya matatu […]

MOFA WAPANIA KUPATA ALAMA TATU HII WIKENDI

Klabu ya MOFA inalenga kupata alama tatu watakapokutana na Fortune Sacco wikendi ijayo. Kocha wa MOFA, Charles Odero, anasema kuwa baada ya kuishinda Naivas, sasa ni muhimu pia kuwapiku Fortune, kwani analenga kumaliza katika nafasi tatu bora kwenye ligi hiyo msimu utakapotamatika. MOFA ambao wako katika nafasi ya tano wakiwa na alama 38, alama 14 […]

JUNIOR STARLETS WAREJEA BAADA YA MICHEZO YA KIRAFIKI

Timu Ya Wasichana Ya U17 Ya Kenya, Junior Starlets, Ilimaliza Ziara Yake Ya Morocco Kwa Ushindi Wa 2-0 Dhidi Ya Morocco U17, Kufuatia Sare Ya 1-1 Katika Mechi Yao Ya Awali Ya Kirafiki. Elizabeth Ochaka Alifunga Katika Mechi Zote Mbili, Huku Mitshel Waithera Akifunga Pia Katika Mchezo Wa Pili. Ziara Hiyo Ilitoa Mwangaza Muhimu Kabla […]

AJALI YA LORI YAZUA KIFO NA MAJERAHA KAKAMEGA

Polisi wanachunguza kifo cha mtu mmoja ambaye amefariki katika ajali iliyotokea katika eneo la Chimoi, Lugari, Kaunti ya Kakamega na mwingine kujeruhiwa. Mfanyabiashara huyo Enoch Wawire amefariki papo hapo kufuatia ajali iliyohusisha lori kwenye barabara kuu ya Eldoret-Webuye. Inaripotiwa kuwa gari hilo lilikuwa limeegeshwa kando ya barabara kabla ya kugeuka na kuanguka kwenye maduka yaliyokuwa […]

MICHANGO YA PENSHENI YAPAA MARADUFU

Wakenya walio katika mipango ya pensheni wameongeza michango yao karibu mara mbili ndani ya miaka mitatu, kulingana na ripoti ya Mamlaka ya RBA. Takwimu zinaonyesha ongezeko kutoka shilingi bilioni 62.73 kwa nusu mwaka ulioishia Juni 2022 hadi bilioni 118.80 kufikia Desemba 2024. Mwaka 2024, iliongezeka zaidi hadi bilioni 116.10 nusu ya kwanza, na bilioni 118.80 […]