SENETA CHERARGEI ATAKA KUONDOLEWA AFISINI MURKOMEN
Seneta wa Nandi Samson Cherargei anataka kuondolewa afisini kwa waziri wa usalama Kipchumba Murkomen akidai kuwa amefeli katika majukumu yake. Cherargei badala yake anapendekeza nafasi hiyo kurejeshewa naibu wa rais Kithure Kindiki anayesema alipohudumu katika wizara hiyo visa vya uhalifu vilipungua. Imetayarishwa na Maureen Amakhobe
English 














































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































