UPINZANI WAPINGA ‘MIRADI NDANI YA MRADI’

Vipengee kadhaa kwenye mswada wa kifedha wa mwaka wa 2025-26 vimeendelea kuibua ukosoaji dhidi ya serikali, viongozi wa upinzani sasa wakiwataka wabunge kutoidhinisha vipengee hivyo. Miongoni mwa vipengee vyenye utata ni pendekezo la kutaka bodi inayosimamia matozo ya nyumba za bei nafuu itumie matozo hayo kuwekeza kwenye miradi tofauti kinyume na sheria. Wakizungumza katika kaunti […]

KANJA AWAFUTA KAZI MAAFISA WAKUU CENTRAL

Maafisa wa polisi akiwemo OCS wa kituo cha Central jijini Nairobi na wale waliokuwa kwenye zamu wakati wa kifo cha mwanablogi Albert Ojwang aliyefariki akiwa kwenye seli za kituo hicho wamesimamishwa kazi, huku mamlaka ya kuchunguza utendakazi wa polisi IPOA ikianzisha uchunguzi kubaini chanzo cha kifo cha jamaa huyo. Kupitia taarifa ya msemaji wa polisi […]

IPOA YAANZISHA UCHUNGUZI NAROK

Mamlaka ya Ipoa imeanzisha uchunguzi katika kisa ambapo polisi wanadaiwa kuwapiga risasi na kuwauwa watu 3 kadhaa na kuwaacha wengine 7 na majeraha mabaya katika kijiji cha Lolkuruk huko Angama mara Narok. Polisi wanadaiwa kuwafyatulia risasi wakaazi waliodaiwa kuingia katika ardhi inayomilikiwa na mtu binafsi huko angama mara. Mwenyekiti wa Ipoa Ahmed Isaak Haasan anasema […]

UHABA WA CHANJO NCHINI

Wizara ya afya imekiri kuwepo uhaba wa chanjo hasa zinazotolewa kwa watoto kaunti 12 zikiathirika zaidi. Kupitia ujumbe uliotolewa na wizara hiyo kuna uhaba wa chanjo muhimu hasa ile ya BCG ya kuzuia ugonjwa wa kifuo kikuu na ile ya Polio ikisema dozi zilizosalia zinaweza kutumika tu kwa muda wa majuma mawili. Katibu katika wizara […]

NDOTO YA IRAN KUSHUUHUDIA KOMBE LA DUNIA YADIDIMIA

Mashabiki wa soka wa Iran wanatazama ndoto yao ya kushihudia Kombe la Dunia ikitoweka baada ya marufuku ya kusafiri ya Marekani kuwazuia kuingia katika taifa Hilo kuishangilia timu yao. Michuano hiyo ya 2026 itaandaliwa kwa pamoja na Marekani, Canada na Mexico, lakini mechi nyingi, ikiwemo fainali, zimepangwa kuchezwa katika ardhi ya Marekani. Wengi nchini Iran […]

NAOMI OSAKA AJIONDOA KWA MASHINDANO YA QUEEN CLUB

Bingwa mara nne wa Grand Slam Naomi Osaka na mchezaji nambari tatu duniani Jessica Pegula wamejiondoa katika mashindano mapya ya wanawake Queen club. Pegula, mshindi wa pili wa michuano ya US Open mwaka jana, alipangwa kuwa mchezaji wa nafasi ya juu zaidi katika mashindano ya WTA 500, lakini Mmarekani huyo alijiondoa pamoja na nyota wa […]

KOCHA WA KABATI FC AHAKIKISHA KUA AMEJITOLEA KUANDIKISHA HISTORIA

Kocha mkuu wa Kabati Youth FC Joe Mungai amethibitisha kujitolea kwake kwa timu hiyo yenye maskani yake Murang’a kufuatia kupandishwa kwao kihistoria hadi Ligi ya daraja la pili nchini (NSL). Mungai alifichua kuwa licha ya kupokea ofa kutoka kwa timu za Ligi Kuu ya FKF, amechagua kusalia na Kabati Youth na kuiongoza klabu hiyo katika […]

YAMAL NA WILLIAM WANG’ARA

Wachezaji nyota wa Uhispania Lamine Yamal na Nico Williams waling’ara huku La Roja ikiilaza Ufaransa 5-4 katika mchezo wa kusisimua mjini Stuttgart siku ya Alhamisi, na kutinga fainali ya Ligi ya Mataifa dhidi ya Ureno. Yamal alifunga mabao mawili huku Williams akifunga na kutoa asisti wakati mawinga hao wawili wakikata safu ya ulinzi ya Ufaransa […]

OJAL ASIFU WACHEZAJI WAKE KWA KAMPENI YAO KALI YA KAMPALA 7S

Kocha mkuu wa Strathmore Leos, William Ojal amesifu wachezaji wake kwa onyesho la kusisimua kufuatia mechi yao ya kwanza Kampala 7s nchini Uganda wikendi iliyopita. Leos ilimaliza katika nafasi ya nne katika shindano hilo na ilikuwa timu pekee ya vilabu kumaliza katika nafasi nne za juu, huku mchuano huo ukishuhudia Shogun na All Stars ya […]

BINGWA WA MBIO ZA PARIS CHEBET ANASEMA YUKO IMARA

Bingwa wa Olimpiki ya Paris 2024 Beatrice Chebet anasema yuko imara kiakili na yuko tayari kwa mpambano wa mbio za mita 5000 za wanawake katika Ligi ya Diamond Golden Gala mjini Rome kesho. Akizungumza huko Roma, Chebet amezizimisha gumzo kuhusu pambano lililotarajiwa na mshikilizi wa rekodi ya dunia Gudaf Tsegay. Chebet alisisitiza kuwa anawaheshimu wapinzani […]