POGBA ATANGAZA KUREJEA UWANJANI
Kiungo wa zamani wa timu ya taifa ya Ufaransa Paul Pogba ambaye amekuwa akitumikia marufuku kutokana na utumizi wa dawa za kusisimua misuli, amesema kwamba anafanya mazungumzo na klabu moja ili kuichezea. Licha ya Pogba kukosa kuweka wazi klabu hiyo, walio karibu naye wanasema ni Monaco, na kurejea kwake kutakamilisha miaka 3 ya kukosa kusakata […]
English 



















































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































