AFISA ALIYE UAWA HAITI ATAMBULIWA

Afisa wa polisi wa kikosi cha Kenya aliyefariki kwenye ajali mbaya ya barabarani Jumapili nchini Haiti ametambuliwa kama Koplo Kennedy Mutuku, mweye umri wa miaka 41. Cue in Shadrack Maina Kupitia taarifa, kikosi cha Pamoja cha mataifa mbali mbali kinachoendesha operesheni ya amani nchini humo MSS, kimemtaja Mutuku kuwa afisa shupavu wa kikosi cha 3 […]

FAIDA ZA EGP ZAWEKWA WAZI

Kenya inatarajiwa kuokoa zaidi ya shilingi bilioni 150 kila mwaka iwapo mfumo wa kielekroniki wa kufanya uagizaji unaotarajiwa kuanza kutumika kuanzia Julai 1 mwaka ujao utatekelezwa. Mfumo huo ambao utagharimu shilingi bilioni 5 utashirikiana na benki kuu ya dunia na shirika la fedha la kimataifa IMF katika kusimamia uagizaji ili kurahisisha shughuli hiyo, kuhakikisha kuwa […]

TETESI ZA EGP

Viongozi mbali mbali wameendelea kuchukua msimamo kinzani kuhusu mfumo wa ununuzi wa vifaa vya serikali kupitia mfumo wa kielekroniki eGP uliopendekezwa na serikali kwa lengo la kilichotajwa kama kukabili ufisadi. Kwenye mahojiano na kituo kimoja cha runinga nchini, seneta wa Bomet Hilary Sigei ameutetea mfumo huo, anaosema utahakikisha usawa katika utoaji wa tenda katika serikali […]

IDARA YA UTABIRI YATANGAZA WIKI YA MVUA

Wakenya wametahadharishwa kuhusu uwezekano wa mvua kubwa wiki hii, wakitakiwa kujiandaa ili kuwa salama. Katika utabiri wake wa hivi punde, idara ya utabiri wa hali anga imesema huenda wiki hii ikashuhudia vipindi vya mvua, anga yenye mawingu mazito na joto kali majira ya mchana na usiku wa bairidi. Katika kipindi cha kati ya tarehe 2 […]

HINCAPIE AJIUNGA KWA MKOPO ASENALI

Arsenal ilimsajili beki wa Ecuador Piero Hincapie kwa mkopo wa msimu mzima kutoka Bayer Leverkusen Jumatatu. Hincapie anaweza kuhamia Arsenal kwa pauni milioni 45 ($60 milioni) mwishoni mwa kampeni ya sasa. Mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 23 aliichezea Leverkusen zaidi ya mechi 100 baada ya kujiunga na klabu hiyo ya Ujerumani mwaka 2021 na […]

ASENSIO AJIUNGA NA FENERBAHCE

Mchezaji wa Paris Saint-Germain Marco Asensio amejiunga na Fenerbahce ya Uturuki siku ya mwisho ya kuhama, klabu zote mbili zilitangaza Jumatatu. Mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 29 alijiunga na PSG kutoka Real Madrid mwaka 2023, baada ya kunyakua taji Bernabeu ambako alishinda Ligi ya Mabingwa mara tatu na idadi sawa ya mataji ya La […]

HOJLUND KUJIUNGA NA NAPOLI

Napoli siku ya Jumatatu ilitangaza kumsajili Rasmus Hojlund kwa mkopo kutoka Manchester United akiwa na jukumu la kumnunua, na hivyo kumaliza kipindi kigumu cha mshambuliaji huyo Old Trafford. Vyombo vya habari vya Uingereza viliripoti kwamba Napoli italipa pauni milioni 38 ($51.5 milioni) kwa mkataba wa kudumu kwa Hojlund msimu ujao wa joto. Raia huyu wa […]

MASHINDANO YA GOFU YASHIKA KASI

Mbio za kuelekea NCBA Golf Series Grand Finale ziliimarika mwishoni mwa juma huku wachezaji kadhaa wa gofu wakijikatia nafasi katika pambano la Novemba katika Muthaiga Golf Club. Katika mechi ya kufuzu kwa Klabu ya Gofu ya Mombasa, Gurbux Singh alifunga alama 77 na kutwaa taji la Mshindi wa Jumla, na kutia tikiti yake hadi fainali. […]

MCCARTHY AEPUKA MASWALI YA AUSTIN

Kocha mkuu wa Harambee Stars Benni McCarthy alieepuka maswali kuhusu kuachwa kwa Austin Odhiambo kwenye kikosi cha Kenya kwa ajili ya mechi ya kufuzu kwa Kombe la Dunia la FIFA 2026 dhidi ya Gambia na Ushelisheli, uamuzi ambao umezua tetesi miongoni mwa mashabiki. Akizungumza wakati wa mazoezi ya kwanza ya Harambee Stars katika uwanja wa […]

ZAIDI YA 1,000 WAANGAMIA SUDAN

Idadi ya watu walioangamia kwenye mmonyoko wa ardhi katika mlima wa Marra magharibi mwa Sudan imefikia zaidi ya 1,000 na kumuacha mwathiriwea mmoja pekee. Haya ni kwa mujibu wa vuguvugu la Sudan Liberation Army, ambalo limetoa wito kwa umoja wa mataifa na jamii ya kimataifa kutoa msaada wa dharura ikiwemo uokoaji na utafutaji wa miili. […]