THE GAMBIA WATEUA KIKOSI
Timu ya taifa ya wanawake ya Gambia imetaja kikosi cha wachezaji 23 watakaomenyana na Harambee Starlets Ijumaa wiki hii jijini Nairobi katika mkondo wa kwanza wa awamu ya mwisho ya kufuzu fainali za ubingwa wa bara Afrika kwa wanawake WAFCON. Starlets watakuwa wenyeji wa mkondo wa kwanza ugani Nyayo, kabla ya marudiano siku 4 baadaye […]
English 














































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































