IPOA YATAKIWA KUCHUNGUZA VIFO WAKATI WA MSIBA
Mamlaka ya kutathmini utendakazi wa polisi IPOA imetakiwa kuanzisha uchunguzi mara moja kubaini chanzo cha vifo vya watu kadhaa waliofariki wakati wa kuutazama mwili wa Waziri mkuu wa zamani Raila Odinga. Familia ya Michael Okoth, mkazi wa Kibra mwenye umri wa miaka 23 ambaye mwili wake ulitambuliwa hapo jana, imesema imekuwa ikimsaka mwanao kwa siku […]
English 














































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































