HAALAND AWAKA MOTO EPL

Mshambulizi wa Manchester City Erling Haaland ameendelea kuonyesha ustadhi wake mbele ya lango baada ya kufunga bao lake la 9 katika ligi kuu nchini Uingereza EPL hapo jana. Bao la pekee la raia huyo wa Norway liliipa City ushindi muhimu dhidi ya Brentford, City wakichupa hadi nafasi ya tano, alama 3 nyuma ya vigogo Arsenal […]

MOMBASA UNITED WAONYESHA MAKALI NSL

Klabu ya Mombasa United imeendeleza rekodi yake ya matokeo ya kuridhishwa katika ligi ya NSL, baada ya kuandikisha ushindi wa mabao 2:1 dhidi ya Fortune Sacco kwenye uwanja wa Mbaraki jijini Mombasa. Mombasa walichukua uongozi katika dakika ya 15 kupitia kwa Emmanuel Gabriel licha ya kukabwa kwa kipindi kirefu na wageni wao, shinikizo zilizosababisha beki […]

GOR WATAMBA, KCB YATAPA

Miamba wa soka nchini Gor Mahia wamejihakikishia ushindi katika mechi mbili mfululizo katika Liugi kuu KPL, baada ya kuipokeza KCB FC yake Robert Matano kichapo cha bao 1:0 katika uwanja wa Dandora hapo jana. Bao la pekee la mchezo huo lilipachikwa wavuni na Felix Mboya, na kuipa Gora lama 3 muhimu ambao sasa zimewaweka katika […]

Exploring the Evolution of Casino Games at Legend Spin Casino

Exploring the Evolution of Casino Games at Legend Spin Casino Finding an online casino that feels safe, offers a huge game library, and pays out quickly is a common headache for many players. Recent surveys show that 78 % of UK players abandon a site after a single slow withdrawal. Data reveals that Legend Spin casino […]

MARAGA, MATIANG’I KUUNGANO KABLA YA 2027

Jaji mkuu wa zamani David Maraga na aliyekuwa Waziri wa usalama Fred Matiang’i wamedokeza kuungana katika mrengo mmoja kabla ya uchaguzi mkuu ujao, wakisema hiyo ndiyo njia pekee ya kulihakikishia taifa mageuzi katika uongozi. Wakizungumza katika hafla 2 tofauti, wawili hao wamesema wataungana na viongozi walio na maono sawa ili kutatua baadhi nya changamoto za […]

KUPPET: MATATIZO YENU YANAISHA

Muungano wa walimu wa shule za upili na vyuo vya kadri KUPPET umewahakikishia walimu kuwa changamoto za mpango wao wa bima ya matibabu zitatuliwa hivi karibuni kutokana na shinikizo za muungano huo kwa serikali. Mwenyekiti wa muungano huo Omboko Milemba, amesema kutatuliwa kwa changamoto hizo ni mwanzo wa kuilainisha sekta ya elimu ili kuimarisha utendakazi […]

PVK YAWAHIMIZA WAKENYA KUJISAJILI KAMA WAPIGA KURA

Mwenyekiti wa muungano wa Pentecostal Voice of Kenya PVK Apostle Peter Manyuru, amewahimiza wakenya kujisajili kwa wingi kama wapiga kura kwenye zoezi linaloendelea kote nchini. Akizungumza baada ya kuongoza mkutano wa viongozi wa muungano huo, Apostle Manyuru ambaye pia ni kiongozi wa kanisa la JTM, amesisitiza kuwa hiyo ndiyo njia mwafaka ya kuwachagua viongozi watakaoleta […]

MZOZO KATI YA WIZARA YA LEBA NA COTU

Mzozo mkali umezuka kati ya muungano wa vyama vya wafanyikiazi (COTU) na wizara ya leba kuhusu mipango ya kuwarejesha nyumbani mamia ya wafanyikazi katika viwanda vinne vya sukari vinavyomilikiwa na serikali. Kupitia barua kati ya COTU ,serikali na viwanda hivyo inaonyesha mgawanyiko kati ya vikundi hivyo. Hata hivyo waziri wa leba alfred mutua anatarajiwa kutoa […]

SAKAJA AAGIZA MSAKO WA WAENDESHA BODABODA WAZEMBE

Gavana wa nairobi johnson sakaja ameagiza msako mkali dhidi ya waendesha bodaboda wazembe jijini Nairobi. Akizungumza katika jukwaa la usalama jijini sakaja ameelezea wasiwasi wake kongezeka kwa uendeshaji wa kiholela wa bodaboda jijini, huku polisi wakipuuza  vitendo hivyo. Imetayarishwa na Jones Koikai

MAAFA YARIPOTIWA KWENYE MAANDAMANO MOROCCO

Watu wasiopungua 2 wameuawa kwenye maandamano yanayoongozwa na vijana wa kizazi cha Gen Z nchini Morocco, haya yakiwa mauaji ya kwanza kuripotiwa tangu kuzuka kwa maandamano kote nchini humo Jumamosi. Waandamanaji wameghadhabishwa na hatua ya serikali kujenga viwanja vya mpira wa soka katika maandalizi ya kuwa mwenyeji wa mashindano ya kombe la dunia, badala ya […]