IEBC YAKAMILISHA UIDHINISHAJI WAKE

Tume huru ya uchaguzi na mipaka IEBC imekamilisha zoezi la kuwaidhinisha wagombeaji wa chaguzi ndogo za Novemba 27 katika maeneo yote 24 nchini, na kupisha rasmi kipindi cha kampeni kwa wagombeaji kusaka uungwaji mkono wa wapiga kura. Mwenyekiti wa IEBC Erastus Ethekon, amesema tume hiyo imetenga muda wa siku 10 kushughulikia mgigogoro yoyote za uteuzi, […]

UJUMBE WA SIKU YA MAZINGIRA

Unahimizwa kuitembelea shule ya msingi iliyo karibu nawe na kupanda miche hii leo kwenye maadhimisho ya siku ya Mazingira, ili kuiwezesha serikali kufanikisha ajenda yake ya kupanda miche bilioni 15 kufikia mwaka 2032. Kulingana na Waziri wa mazingira Deborah Mulongo, siku hii inalenga kuimarisha hulka ya kutunza mazingira, akisema serikali iko mbioni kufanikisha upanzi wa […]

MGOMO WA WAHADHIRI WAKOSA SULUHU

Wanafunzi wa vyuo vikuu vya umma nchini wataendelea kukosa masomo baada ya mazungumzo ya wahadhiri, wizara ya elimu na tume ya kuratibu mishahara ya wafanyakazi wa umm SRC kukosa kuzaa matunda. Wakati wa kikao kilichoandaliwa katika chuo kikuu cha Machakos, wahadhiri walishinikiza kulipwa shilingi bilioni 7.9 jinsi ilivyo kwenye mkataba wa maelewano wa mwaka 2017-21 […]

Strategic Playbook for Mobile Casino Success: A Data‑Driven Guide

Strategic Playbook for Mobile Casino Success: A Data‑Driven Guide The mobile iGaming market has exploded in the past three years, driven by faster networks and the rise of crypto‑friendly platforms. Players now expect instant access to 2,500 games, seamless deposits, and bonuses that reward both newcomers and loyal users. This report distills the most relevant […]

GHANA YANUSIA, MISRI YAFUZU KOMBE LA DUNIA

Timu ya taifa ya Ghana iliicharaza Central Africa Republic mabao 5:0 kujiweka katika nafasi nzuri ya kufuzu kipute cha komb ela dunia mwaka ujao. Mabao ya Mohammed Salisu, Thomas Partey, Alexander Djiku, Jordan Ayew na Kamaldeen Sulemana, yaliihakikishia Black Stars kusalia kileleni mwa kundi I kwa alama 22, alama 3 mbele ya Madagascar walio katika […]

FKF YATANGAZA UAJIRI KWA JUNIOR STARS

Shirikisho la soka nchini FKF limetangaza kuwa wazi nyadhifa mbali katika benchi ya kiufundi ya timu ya taifa ya wanaume ya soka kwa wachezaji walio chini ya miaka 17 Junior Stars na kuagiza uteuzi mpya mara moja. Junior Stars wanajiandaa kwa mechi za kufuzu kwa mashindano ya ubingwa wa bara Afrika yaani 2026 AFCON U-17. […]

KIPENGA CHA KAMPENI CHAPULIZWA

Kampeni za chaguzi ndogo zitakazoandaliwa katika maeneo mbali mbali mwezi ujao zimeanza rasmi baada ya tume huru ya uchaguzi na mipaka IEBC kuwaidhinisha wawaniaji wa vyama mbali mbali kugombea nyadhifa kwenye chaguzi hizo. Miongoni mwa wawaniaji walioidhinishwa ni Boyd Were, anayelenga kujaza nafasi iliyoachwa na babake Ong’ondo Were kama mbunge wa Kasipul kupitia tiketi ya […]

WAHADHIRI WATISHIA KUVURUGA SULUHU

Mgomo wa wahadhiri umeingia siku ya 21 hii leo huku wahadhiri wakishinikilia kuwa hawatarejea kazini hadi serikali itakapowalipa deni lao la shilingi bilioni 7.9 walizokubaliana kwenye mkataba wa maelewano yaani CBA ya mwaka wa 2017-21. Wahadhiri hao walioandamana hapo jana hadi katika majengo ya bunge, wizara ya elimu na ile ya fedha, wamesema mkutano uliopangwa […]

KENYA YAVUKA MIPAKA YA DENI

Serikali imekuwa ikikopa shilingi bilioni 5.9 kila wiki katika kipindi cha miezi 4 iliyopita, hatua inayoashiria ongezeko la utegemeaji wa mikopo ili kuziba mianya ya mapungufu ya bajeti. Haya ni kwa mujibu wa takwimu za wizara ya fedha zilizowasilishwa bungeni, zinazoonyesha kuwa Kenya ilikopa shilingi bilioni 95.5 katika kipindi hicho. Tayari Kenya imevuka kiwango hitajika […]

WAKENYA WAIBUA MASWALI YA UADILIFU WA TUZO

Wakenya wana hadi Jumatatu wiki ijayo kuwasilisha maoni yao kwa bunge la kitaifa kuhusu uteuzi wa wabunge kadhaa na wafanyakazi wa bunge kupewa tuzo za kitaifa kama mashujaa wakati wa sherehe za Mashujaa za mwaka huu. Maseneta 11 na wabunge 35 akiwemo John Waluke wa Sirisia, Didmus Barasa wa Kimilili na mbunge wa Tiaty William […]