CA YAPUUZA MADAI YA KULAZIMISHA UKUSANYAJI WA DATA
Mamlaka ya mawasiliano nchini imepuuzilia mbali madai ya mamlaka hiyo kuwalazimisha wahudumu wa mtandao wa simu kukusanya data ya kibayometriki chini ya kanuni mpya za usajili za kadi za simu zilizorekebishwa nchini. Katika taarifa iliyotolewa hii leo mdhibiti ametaja wasiwasi huo kuwa usio na msingi. Mamalaka hiyo imefafanua kuwa sheria zilizosasishwa na kuchapishwa mnamo mei 2025 zinalenga kuwalinda wakenya dhidi ya ulaghai unaohusiana na kadi za simu, wizi wa vitambulisho, na […]
English 














































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































