WAATHIRIWA CHESONGOCH WASALIA KAMBINI
Familia za watu 39 walioangamia kwenye mkasa wa maporomoko ya ardhi katika eneo la Chesongoch kaunti ya Elgeyo Marakwet zinajiandaa kuwazika wapendwa wao huku wengi wa waathiriwa wakiendelea kuishi katika kambi ya muda kufuatia kuharibiwa kwa makazi yao. Kwa mujibu wa gavana wa kaunti hiyo Wesley Rotich, zaidi ya familia 100 zimehamishiwa katika maeneo yaliyo […]
English 














































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































