JAJI WA MAHAKAMA YA JUU AFARIKI
Idara ya utoaji haki imepata pigo kufuatia kifo cha jaji wa mahakama ya upeo Ibrahim Mohammed, aliyefariki jana alasiri baada ya kuugua kwa muda mfupi. Kulingana na ripoti, jaji huyo alikuwa ameratibiwa kustaafu tarehe 1 mwezi ujao, baada ya kuhudumu katika idara ya mahakama kwa kipindi cha miaka 23. Kupitia taarifa, jaji Mkuu Martha Koome, […]
English 



















































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































