BENSON KIPRUTO AONYA MAPEMA KABLA YA BOSTON MARATHON

Mshindi wa zamani wa Boston Marathon, Benson Kipruto, amewaonya wapinzani wake kujiandaa kwa ubishani mkali wakati atakaporudi kwenye mashindano ya Boston mwezi Aprili, akitangaza kuwa yuko tayari kuanza msimu wa 2026 akipambana na mashujaa wengine wa ngazi ya juu wa wanaume. Tukio la Boston Marathon la 130, litafanyika Aprili 20 huku mshindi wa mwaka jana John […]

FAMILIA YATAKA HAKI KUFUATIA KIFO CHA ALPHY MIGASHA

Familia ya Alphy Migasha inataka kukamatwa mara moja na kufikishwa mahakamani kwa afisa wa kijeshi anayeshukiwa kumuua ndugu yao baada ya kumpiga kikatili katika mtaa wa Umoja One, jijini Nairobi. Haya yanajiri huku ripoti ya uchunguzi wa maiti ikibainisha kuwa Alphy alifariki kutokana na gando la damu kwenye mapafu liliLOtokana na majeraha aliyoyapata marehemu wakati wa […]

MARAGA AIBUA WASIWASI KUHUSU UENDELEVU WA MPANGO WA NYOTA

Aliyekuwa Jaji Mkuu na mgombea wa urais, David Maraga, ameikosoa serikali kuhusu mpango unaoendelea wa NYOTA, akisema kuwa utekelezaji wake unatiliwa shaka. Maraga amehoji uendelevu wa mpango huo, pamoja na namna shilingi elfu hamsini zinazotolewa kwa wanufaika, akisema huenda zikadhoofisha kufikiwa kwa lengo kuu la mpango huo na kuupa taswira ya kisiasa badala ya maendeleo […]

JSC YATEUA WAGOMBEA 15 WA MAJAJI WA MAHAKAMA YA RUFAA

Tume ya Huduma za Mahakama, JSC, imeteua jumla ya wagombea kumi na tano kwa ajili ya kuteuliwa kuwa Majaji wa Mahakama ya Rufaa, kufuatia kukamilika kwa mchakato mkali na wenye ushindani mkubwa wa usaili. Miongoni mwa walioteuliwa ni Mwenyekiti wa Mamlaka Huru ya Usimamizi wa Polisi, IPOA, Issack Hassan, pamoja na wakili mwandamizi Katwa Kigen, […]

NDINDI NYORO ATAKA ELIMU YA SEKONDARI IWE BURE KIKAMILIFU

Mbunge wa Kiharu, Ndindi Nyoro, ametoa wito wa kutekelezwa mara moja kwa elimu ya sekondari bure kikamilifu nchini Kenya, akisema kuwa elimu inapaswa kulindwa dhidi ya ushawishi wa kisiasa. Akizungumza wakati wa mkutano wa hadhara, Nyoro alipendekeza kuanzishwa kwa hazina ya kitaifa ya elimu ya sekondari itakayofadhili shule za kutwa pamoja na chakula cha wanafunzi […]

NPS KIKAANGONI JUU YA MIRADI 4 ILIYOKWAMISHWA

Huduma ya Polisi ya Kitaifa (NPS) iko kwenye dhoruba baada ya ripoti ya Mhasibu Mkuu wa Taifa kuonyesha miradi minne iliyokwamishwa, pamoja na uvunjaji mkubwa wa mkataba na ukosefu wa uwajibikaji wa kifedha. Akiwa mbele ya  Kamati ya Hesabu za Umma, Bernice Lemedeket ambaye ni afisa wa fedha wa NPS, alikosa kueleza ni kwa nini mradi wa jengo […]

Best Gambling Enterprises Approving Neteller: A Comprehensive Guide

In today’s electronic age, on the internet gaming has come to be an increasingly preferred form of home entertainment. With the comfort and ease of access it provides, more and more people are turning to online casinos to appease their crave excitement and thrill. Nonetheless, with the wide variety of options offered, it can be […]

Online casinos Neteller: A Comprehensive Overview to Online Wagering with Neteller

In today’s electronic age, online gambling establishments have actually become increasingly preferred as a hassle-free and exhilarating way to take pleasure in the excitement of betting from the comfort of your very own home. One of the most relied on and widely used settlement techniques in the iGaming industry is Neteller. In this write-up, we