TUSKER WAILEMEA KCB, WAPANDA HADI NAFASI YA SITA
Tusker FC walionyesha ukomavu na nidhamu ya hali ya juu kuibuka naushindi wa 2-1 dhidi ya KCB katika mechi ya Ligi Kuu ya Kenyailiyochezwa kwenye uwanja wa Kasarani Annexe. Ushindi huouliwawezesha Brewers kupanda hadi nafasi ya sita kwenye msimamowa ligi wakiwa na pointi 27, pointi tisa nyuma ya vinara Gor Mahia. Tusker walilazimika kuvumilia presha […]
English 


























































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































