AMBANI ASONYA TATIZO LA KUTUMIA NAFASI LICHA YA INGWEKUREJEA KILELENI
AFC Leopards wamerejea kileleni mwa msimamo wa Ligi Kuu yaSportPesa wakiwa na pointi sawa na wapinzani wao wakuu GorMahia, lakini kocha Fred Ambani amesema bado kuna changamotozinazohitaji kushughulikiwa.Akizungumza baada ya ushindi mwembamba wa mabao 1-0 dhidi yaSofapaka uliochezwa Jumapili katika Uwanja wa Moi Kasarani,Ambani alibainisha kuwa tatizo kubwa linaloikabili timu yake nikushindwa kutumia nafasi wanazotengeneza.Ingwe […]
English 



































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































