STARLETS WAONYWA DHIDI YA KUIDHARAU TANZANIA
Kipa wa kikosi cha Rising Starlets Christine Adhiambo, amewataka wachezaji wenza kuwa makini wanapojiandaa kwa mechi ya raundi ya 3 ya kufuzu dimba la kombe la dunia la wanawake wasiozidi umri wa miaka 20 yaani FIFA U20 Women’s World Cup, akisema mechi hiyo haitakuwa rahisi. Adhiambo ameonya kuwa tofauti na wengi wanavyodhani, kikosi cha Tanzania […]
English 







































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































