KNEC YAONYA KUHUSU USAJILI WA KCSE 2026
Baraza la Kitaifa la Mitihani nchini, KNEC, limeonya kuwa hakutakuwa na usajili wa kuchelewa kwa watahiniwa wanaotarajia kufanya mtihani wa KCSE mwaka 2026. Kupitia taarifa, KNEC imesema usajili wa mtihani huo ulianza Februari 16 na unatarajiwa kufungwa rasmi Machi 31 bila kuongezwa muda zaidi. Baraza hilo pia limeeleza kuwa mtihani wa KCSE wa mwaka 2026 […]
English 








































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































