HAKIMI NJE DHIDI YA BAYERN
Bingwa mtetezi wa dimba la klabu bingwa barani Ulaya, PSG, itakosa huduma za beki wake Achraf Hakimi katika mechi ya marudiano ya semi fainali ya dimba hilo dhidi ya Bayern kutokana na jeraha la paja. Kupitia taarifa, PSG imesema raia huyo wa Morocco atakuwa nje kwa kile ilichotaja kama wiki chache kutokana na jeraha hilo. […]
English 


























































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































