GACHAGUA APIGA ABAUTANI KWENYE KESI YA KUTIMULIWA
Aliyekuwa naibu rais Rigathi Gachagua sasa amefutilia mbali ombi lake la kutaka arejeshwe afisini jinsi alivyokuwa amewasilisha kesi inayoendelea kwa sasa katika mahakama ya Milimani, na badala yake anataka kupewa fidia. Wakati wa vikao vinavyosikilizwa na majaji Anthony Mrima, Freda Mugambi na Erick Ogolla, mawakili wa Gachagua wameiarifu mahakama kwamba kesi hiyo iliyofanyiwa marekebisho sasa […]
English 


























































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































