UTABIRI WAONYA MVUA KUBWA KUENDELEA
Wakenya wametakiwa kuchukua tahadhari kutokana na mvua kubwa inayoendelea kunyesha katika mengi ya maeneo ya nchi, mafuriko ya ghafla na matatizo ya kuona vizuri barabarani yakihofiwa. Kwenye ripoti yake, idara ya utabiri wa hali ya anga imebashiri kuwa mvua itaendelea kunyesha hadi tarehe 4 mwezi ujao, katika maeneo kadhaa ikiwemo nyanda za juu za maeneo […]
English 


























































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































