MAANDALIZI YA UCHAGUZI MDOGO OLKALAU YAENDELEA
Hatimaye tume ya uchaguzi nchini IEBC imewaidhinisha wagombea 9 wa kuwania kiti cha ubunge wa Olkalau baada ya kukamilisha shughuli ya uhakiki wa nyaraka zao. Miongoni mwa wagombea 9 walioidhinishwa ni Rechael Wangoi Njoroge wa chama cha PDP, Sammy Kamau Ngodho wa DCP,Samuel Muchina wa UDA, Wilson Kigwa wa Jubilee Abdee Fata Husein ambaye ni […]
English 














































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































