BADILISHENI VITAMBULISHO; BITOK ASEMA
Julius Bitok katibu katika wizara ya uamiaji amesema kuwa kila mkenya atahitajika kuwa na kitambulisho cha kitaifa cha kisasa kinachojulikana nkama maisha Crad. Kwa mujibu wa balozi Bitok serikali imeweka mikakati ya kiutosha kuhakikisha kwamba wananchi wanapata vitambulisho hivyo vya kisasa ili kudumisha usalama na kwamba kitambulisho hicho kitakuwa kinabadilishwa baada ya muda fulani. Imetayarishwa na Janice Marete
English 














































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































