ODINGA AWAKOSOA WABUNGE KUHUSU MASAIBU YA KAUNTI
Huku kukishuhudiwa mtafaruku baina ya bunge la kitaifa na lile la seneti kuhusu mgao wa serikali za kaunti ambao umelemaza utoaji huduma mashinani, waziri mkuu wa zamani Raila Odinga amelishutumu bunge la kitaifa kutokana na mahangaiko hayo. Katika kikao na wanahabari jijini Nairobi, Odinga amesema kupunguzwa kwa mgao huo kutoka shilingi bilioni 400 hadi bilioni […]
English 














































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































