ITALIA KUKOSA KOMBE LA DUNIA KWA MARA YA 3?
Kocha mkuu wa timu ya taifa ya soka ya Italia Gennaro Gattuso amethibitisha kwamba wachezaji Gianluca Scamacca na Giacomo Raspadori wataanza mechi ya timu hiyo dhidi ya Moldova leo usiku, ila akasema anahisi kuwa mfumo wa kufuzu kwa kombe la dunia kwa bara Ulaya unahitaji mabadiliko. Mechi hiyo itaanza saa 22:45 usiku, na ushindi kwa […]
English 














































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































