MVUA KUBWA KUENDELEA, RIPOTI
Wakenya wamepewa tahadhari kuhusiana na mafuriko kutokana na mvua kubwa ambayo imebashiriwa kuendelea kunyesha katika maeneo mbali mbali ya nchi. Katika ripoti yake ya hivi punde, idara ya utabiri wa hali ya anga imetangaza kuwa mvua hiyo itaendelea katika maeneo ya nyanda za juu za bonde la ufa, ukanda wa Ziwa Victoria, Pwani, nyanda za […]
English 














































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































