TATIZO LA UHABA WA MAFUTA NCHINI HATIMAYE LATATULIWA
Wahudumu wa magari ya umaa pamoja na wa kibinafsi sasa wana kila sababu yakutabasamu baada ya tatizo la uhaba wa mafuta lililoshuhudiwa nchini mapema leokutatuliwa huku hali ya kawaida ikiripotiwa kurejea katika vituo vya mafuta mbalimbalinchini.Katika taarifa kwa vyombo vya habari Waziri wa kawi Opiyo Wandayi anasema kuwauhaba huo ulisababishwa na hitilafu za kiufundi za […]
English 














































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































