RUTO ATAKA MAGEUZI YA HARAKA KATIKA UMOJA WA AFRIKA
Rais William Ruto ametaka kuharakishwa kwa mageuzi ndani ya Umoja wa Afrika ili bara la Afrika liweze kujitegemea zaidi kupitia taasisi imara na ufadhili endelevu. Rais amesema Afrika lazima ipunguze utegemezi wa nje na kuimarisha uwezo wake wa kushughulikia changamoto zake kupitia utekelezaji wa Ajenda 2063 ya Umoja wa Afrika. Ruto amezungumza baada ya kuongoza […]
English 














































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































