AFRIKA KUSINI YASHINDA U20, NIGERIA NAFASI YA TATU
Timu ya vijana ya Afrika Kusini chini ya miaka 20, Amajita, imeibuka mabingwa wa Kombe la Mataifa ya Afrika kwa vijana kwa mara ya kwanza baada ya kuifunga Morocco 1-0 katika fainali iliyofanyika Misri Jana jumapili. Bao pekee lililofungwa na kiungo Gomolemo Kekana dakika ya 70 lilithibitishwa na VAR na likawa la ushindi. Timu zote […]
English 














































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































