MVURYA AWARAI WAKENYA KUUNGA MKONO HARAMBE STARS
Waziri wa Michezo Salim Mvurya amewataka Wakenya kuunga mkono Harambee Stars kabla ya Michuano ya Mataifa ya Afrika ya 2024-CHAN- itakayoanza Agosti 2 hadi Agosti 30, 2025. Akizungumza wakati wa makabidhiano rasmi ya Uwanja wa Nyayo na viwanja viwili vya mazoezi, Police Sacco na Ulinzi Complex kwa Kamati ya andalizi, Mvurya alisema Kenya iko katika […]
English 














































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































