IDADI YA WALIOFARIKI TODONYANG HAIJABAINIKA
Serikali itabuni kundi maalum litakaloendeshwa uchunguzi kubaini idadi kamili ya watu waliofariki wakati wa uvamizi ulitokea katika eneo la Todonyang huko Turkana. Akiongea baada ya mkao wa usalama huko Lodwar waziri wa usalama Kipchumba Murkomen anasema imekuwa vigumu kubaini idadi ya waliofariki katika tukio hilo la mwezi februari. Anasema huenda kuna watu waliozama katika ziwa […]
English 














































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































