SIMBAS WAVUNA USHINDI MNONO KWENYE MICHUANO YA KOMBE LA AFRIKA
Kenya Simbas walianza safari yao ya Kombe la Afrika la Raga mwaka huu kuwania kufuzu kwa Kombe la Dunia la 2027 kwa ushindi mnono wa 32-24 dhidi ya Uganda kwenye Uwanja wa Nelson Mandela mjini Kampala. Griffin Chao alianza kufunga dakika ya 20 kabla ya Barry Young kuongeza ‘tri’ ya pili, na kuifanya Kenya kuongoza […]
English 














































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































