JSC YAZUIWA KUSIKILIZA KESI YA KUMWONDOA JAJI SANKALE
Ni afueni kwa jaji wa mahakama ya rufaa Sankale Ole Kantai baada ya mahakama kuu kutoa agizo la kuizuia tume ya huduma za mahakama JSC kuendelea kusikiliza kesi inayotoka kuondolewa afisini kwa jaji huyo. Kwenye uamuzi wake, jaji Chacha Mwita amesema vikao hivyo kuruhusiwa kuendelea ilhali kuna kesi mahakamani kuhusiana na malalamishi dhidi ya jaji […]
English 














































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































