FAMILIA ZAACHIWA KUWASAKA WAPENDWA WAO
Shughuli za kuwasaka watu 10 wanaohofiwa kukwama kwenye udongo kufuatia maporomoko ya ardhi katika eneo la Chesongoch kaunti ya Elgeyo Marakwet zinaendelea huku serikali ikiratibu tarehe 21 mwezi huu kuwa siku ya kuwazika walioangamia. Shughuli hizo zinaendelezwa na familia za waathiriwa na Wakazi, baada ya maafisa wa serikali kuondoka ikiwa ni wiki moja tangu kutokea […]
English 














































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































