BRYNE OMONDI APONGEZA UTEUZI WA WACHEZAJI CHIPUKIZI

Kipa wa Harambee Stars, Bryne Omondi, amepongeza uteuzi wawachezaji chipukizi kwenye kikosi cha timu ya taifa kilichoitwa nakocha Benni McCarthy.Omondi amesema ujio wa wachezaji wachanga ndani ya timu ya taifautawapa motisha vijana wengine nchini kuendelea kujituma ilikutimiza ndoto zao za kuchezea Stars.Miongoni mwa wachezaji wapya walioitwa ni mshambuliaji JobOchieng, anayesakata soka nchini Hispania na klabu […]

KWALE KUANDAA MASHINDANO YA MBIO ZA BAISKELI

Kaunti ya Kwale inajiandaa kuandaa mashindano ya bara la Afrika yambio za baiskeli za barabarani yatakayofanyika kwa siku tatu kuanziaNovemba 19 hadi 23Mashindano hayo yanatarajiwa kuvutia waendesha baiskeli nyotakutoka angalau mataifa 20 ya Afrika pamoja na washiriki wenginekutoka sehemu mbalimbali duniani, yakilenga kusherehekea vipaji,nguvu za vijana na umoja kupitia michezo.Akizungumza wakati wa kikao cha maandalizi […]

KENHA YAZUNGUMZIA MPANGO WA UPANUZI WA BARABARA YA KIAMBU

Kuunganishwa kwa barabara ya Muthaiga –Kiambu– Ndumberi yenye urefu wa kilomita 23.5  kunatazamiwa kupunguza msongamano wa magari kati ya kaunti za Nairobi na Kiambu. Kulingana na taarifa iliyotolewa hapo jana na KENHA ni  kuwa mradi huo unatarajiwa kuongeza upana wa  barabara hiyo jambo ambalo pia litawakikishia wapita njia usalama wao barabarani. Mamlaka ya Kitaifa ya Barabara Kuu ya Kenya ( KeNHA ), limesema kuwa barabara hiyo […]

BARAZA LA MAWAZIRI LAIDHINISHA UPANUZI WA BARABARA YA KIAMBU

Baraza la Mawaziri limeidhinisha uboreshaji wa barabara ya Muthaiga-Kiambu-Ndumberi yenye urefu wa kilometa 23.5 hadi ya njia nne ili kuepusha msongamano wa magari katika kaunti za Nairobi na Kiambu. Mradi huo utajumuisha njia za pembezoni, njia za usafiri zisizo na magari, vifaa vya abiria, barabara za kuingia, na madaraja kadhaa, kuboresha uwezo na kupunguza muda […]

AFUENI YA RIBA KWA WAMILIKI WA ARDHI 

Wamiliki wa ardhi wana kila sababu ya kutabasamu baada ya Baraza la Mawaziri kuidhinisha msamaha wa riba na adhabu kwa mikopo ambayo haijalipwa ya makazi katika hatua inayolenga kuwapunguzia mzigo wa kifedha wakaazi wa kipato cha chini na kuendeleza Ajenda ya Mabadiliko ya Kiuchumi (BETA). Kwa mujibu wa taarifa kutoka Ikulu, uamuzi huo unafuatia mapendekezo ya Bodi ya Wadhamini ya hazina ya makazi na ardhi, ikibainika kuwa […]

JORGE FRUTOS KUJAZA PENGO LA YAMAL “LA ROJA”

Kocha mkuu wa timu ya taifa ya Uhispania maarufu kama La Roja Luis de la Fuente, amemteua wing’a wa Rayo Vallecano Jorge de Frutos kujaza pengo la Lamine Yamal kutokana na jeraha katika maandalizi ya kusaka tiketi ya kuelekea Marekani mwaka ujao kwa mashindano ya kombe la dunia. Kumekuwa na vuta nikuvute baina ya timu […]

KOCHA AFICHUA SABABU YA KUMWACHA NJE OLUNGA

Naibu meneja wa timu ya taifa Harambee Stars Vasili Manousakis ameweka wazi sababu za kumwacha nje ya kikosi nahodha wa timu hiyo Michael Olunga wanapojiandaa kwa mechi za kirafiki wiki hii. Kulingana na Manousakis, lengo ni kuwaondolea shinikizo baadhi ya wachezaji wa timu hiyo akiwemo Olunga, na kupisha fursa kwa wachezaji wengine, kinyume na ripoti […]

KENYA KUWA MWENYEJI WA UBINGWA WA TAEKWONDO

Shirikisho la mchezo wa Taekwondo nchini limeratibiwa kuwa mwenyeji wa mashindano ya kwanza ya ubingwa wa Taekwondo kwa wachezaji wasiozidi umri wa miaka 21 ugani Kasarani kuanzia tarehe 3-6 Disemba. Timu ya taifa itawajumuisha wachezaji 16, wanaume 8 na wanawake 8 vile vile. Akizungumza baada ya uzinduzi rasmi, rais wa shirikisho hilo Suleiman Sumba amesisitiza […]

SERIKALI YASISITIZA UMEME UPO

Serikali imewaondolea wakenya hofu ya uhaba wa nguvu za umeme ambao kwa mujibu wa Rais William Ruto, umesababisha kuzimwa kwa umeme katika baadhi ya maeneo majira ya jioni ili kukidhi mahitaji mengi ya bidhaa hiyo. Kulingana na katibu mkuu katika wizara ya kawi Alex Wacira, taifa lina nguvu za umeme za kutosha, na kauli ya […]

HALI DUNI YA HOSPITALI YA RUFAA YA KIAMBU

Baadhi ya akina mama wamekaa katika hospitali ya rufaa ya kaunti ya Kiambu kwa zaidi ya miezi 3 baada ya kujifungua kutokana na kushindwa kwao kulipia gharama za matibabu, huku hofu ikiibuka kuhusu gharama za matibabu ambazo hazijalipwa na ongezeko la mimba za utotoni kwenye hospitali hiyo. Katika ziara ya ukaguzi, kamati ya afya katika […]