STARS WAJIANDAA KUNG’AA KWENYE MASHINDANO YA FIFA
Timu ya taifa ya wanaume ya soka Harambee Stars inatarajiwa kuondoka leo nchini kuelekea Rwanda baada ya kufanya mazoezi yao ya mwisho hapo jana ugani Nyayo jijini Nairobi. Stars watashiriki mechi za kirafiki katika mashindano ya 2026 FIFA Series, ambayo yamezinduliwa kwa lengo ya kuyawezesha mataifa fursa za kushiriki mechi za kimataifa. Kocha mkuu Benni […]
English 


























































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































