KENYA YAIMARISHA UKAGUZI WA EBOLA MPAKANI
Serikali ya Kenya imeimarisha uangalizi na ukaguzi katika mpaka wa Busia kufuatia mlipuko wa ugonjwa wa Ebola katika Jamhuri ya kidemokrasia ya Congo uliosababisha zaidi ya vifo 130. Serikali imetuma timu ya wahudumu wa afya kuwachunguza wasafiri wanaotoka ukanda wa Maziwa Makuu baada ya taarifa kuwa nchi jirani ya Uganda tayari imeripoti kifo kimoja kinachohusishwa na virusi […]
English 














































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































