ASILIMIA 25 YA USHURU WA SIMU KUTOATHIRI BEI YA SIMU
Waziri wa Hazina ya kitaifa John Mbadi amepuzilia hofu kwamba Mswada wa Fedha unaopendekezwa wa 2026 utasababisha kupanda kwa bei ya simu mahiri, akisema badala yake kwamba mfumo wa ushuru uliorekebishwa umeundwa ili kupunguza mzigo wa jumla wa ushuru kwenye vifaa vya rununu. Haya yanajiri huku kukiwa na ukosoaji mkubwa wa umma juu ya mapendekezo ya hatua za […]
English 














































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































