ROONEY ONYANGO AITA AFCON 2027 FURSA YA KIPEKEE KWA KENYA
Beki wa kimataifa wa Kenya Rooney Onyango amesema mashindano ya Kombe la Mataifa ya Afrika 2027 yatakuwa nafasi ya kipekee kwa soka ya Kenya kuandika historia mpya. Onyango ambaye kwa sasa anachezea Klabu Sogndal nchini Norway amesema mashindano hayo yatakuwa na uzito mkubwa kihistoria na kihisia kwa wachezaji wa Kenya. Beki huyo wa kulia mwenye umri wa […]
English 














































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































