#Local News

LUSAKA AWAFUTA KAZI MAWAZIRI WOTE

Gavana wa Bungoma Ken Lusaka anatarajiwa kuwateua mawaziri washikilizi kuhudumu kwenye baraza lake, baada ya kuvunjilia mbali baraza hilo hapo jana ambapo mawaziri wote, mwanasheria na katibu wa kaunti walifutwa kazi.

Kwa mujibu wa taarifa ya Lusaka, hatua hiyo inalenga kuimarisha utendakazi wa serikali yake na kuboreshwa kwa utoaji huduma kwa wakazi wa kaunti hiyo.

Amewahakikishia wakazi kuwa huduma hazitatizika kutokana na hatua ya kuvunjilia mbali baraza lake.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *