#Local News

RIGATHI AELEZA IMANI YAKE YA KUSHIRIKI URAIS MWAKA UJAO

Aliyekuwa Naibu Rais Rigathi Gachagua amesema ana mpango mbadala iwapo atazuiwa kugombea urais katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2027.

Gachagua amesema  kuwa ana matumaini kuwa kesi inayomkabili mahakamani itatolewa huku akifichua kuwa anatambua kundi la viongozi vijana walio tayari kuendeleza azma ya eneo la Mlima Kenya ya kutoa mgombea wa urais huku akipuuza madai ya  changamoto za kisheria zinazomkabili zinaweza kuliacha eneo la Mlima Kenya bila mgombea wa kiti cha urais.

Imetayarishwa na Hilda Ajema

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *