#Local News

ALIYEKUWA KAMISHNA WA IEBC MOHAMMED SHARAWE AMEAGA DUNIA

Aliyekuwa kamishna wa tume ya uchaguzi na mipaka nchini  IEBC Mohammed Abdulahi Sharawe ameaga dunia.

Kulingana na familia yake Mohamed ameaga dunia usiku wa kuamkia leo, Sharawe aliwahi kuwa katibu wa idara ya  bara bara na kazi za umma wakati wa utawala wa hayati Rais Daniel Arap Moi kabla ya kuhudumu kwenye wizara ya utafiti mafunzo ya ufundi na Technolojia.

Sharawe aidha alichaguliwa kuwa kamishna wa IEBC baada ya kupitishwa kwa katiba mpya mwaka wa 2010 na kuhusika katika chaguzi kati yam waka wa 2011 hadi 2016.

Imetayarishwa na Hilda Ajema

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *