KILIMO CHA MIWA KUWAFAIDI WAKULIMA
Wakaazi wa eneo la magharibi na maeneo mengine yanayokuza zao la miwa wataanza kufaidi na zao hilo baada ya rais kuelezea mpango wa kuboresha sekta ya miwa.
Akiongea kwenye mkao na wabunge kutoka kaunti za Vihiga Kakamega Bungoma Trans nzoia na Busia rais William ruto anasema wanaekeza katika marekebisho umuhimu ikiwemo kuimarisha usimamizi wa sekta hiyo.
Usemi wake unajiri majuma kadhaa baada ya kuongezwa kwa kiwango cha fedha zinazolipwa kwa tani moja ya miwa na kufikia shilingi 5500.
Imetayarishwa na Maureen Makhobe
English 































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































