#Local News

FAMILIA MURANG’A YALILIA HAKI

Familia moja katika kaunti ya Murang’a inalilia haki baada ya mwanao kudaiwa kukanyagwa na gari la kampuni moja ya ulinzi na kusababisha kifo chake.

Kamanda wa polisi eneo la Murang’a Kusini Hassan Bashir, amesema mwendazake Michael Murigi alikuwa na mwenzake wakisafiri kwa piki piki kabla ya kugongwa upande wa nyuma.

Piki piki hiyo pamoja na gari lililohusika zimefanyiwa uchunguzi na maafisa wa mamlaka ya usalama barabarani NTSA.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

FAMILIA MURANG’A YALILIA HAKI

IEBC YATETEA URATIBU WA CHAGUZI

FAMILIA MURANG’A YALILIA HAKI

MAREKANI ‘YASIKITISHWA’ NA KENYA

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *