WAKUU WA MATAIFA WAWASILI NYAYO
Wageni mashuhuri wamefika katika uwanja wa michezo wa Nyayo kuhudhuria ibada ya kitaifa ya mazishi ya aliyekuwa Waziri mkuu Raila Odinga inayoendelea kwa sasa.
Miongoni mwao ni rais wa zamani wa Tanzania Jakaya Kikwete na makamu wa rais Philip Mpango, ambao wamepokelewa katika uwanja wa JKIA na alieyekuwa makamu wa rais wa Kenya Kalonzo Musyoka.
Imetayarishwa na Antony Nyongesa
English 































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































