#Local News

WANAFUNZI NAROK NJIA PANDA

Ufunguzi wa shule umeingia siku ya 3 hii leo huku wanafunzi kadhaa katika eneo la Ang’ata Barrikoi kaunti ya Narok wakikosa kurejea shuleni kuhusiana na hofu ya usalama kufuatia mapigano baina ya jamii za eneo hilo.

Baadhi ya shule eneo hilo zimesalia kuwa mahame, huku nyingine kama vile ile ya Siteti zikitumika kama hifadhi ya wakimbizi wa mapigano hayo.

Wakazi wameitaka serikali kuimarisha operesheni ili kurejesha utulivu, huku KUPPET ikiwaonya wanachama wake dhidi ya kurejea katika shule za eneo hilo.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

WANAFUNZI NAROK NJIA PANDA

SERIKALI YAWALIPA WACHAPISHAJI

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *