#Local News

KNEC: THIBITISHA USAJILI WA MWANAO

Baraza la mitihani ya kitaifa KNEC limewataka wazazi kuthibitisha kwamba wanao wamesajiliwa kwenye mitihani ya kitaifa ya gredi ya 6, 8 na kidato cha 4 kwa kutumia mfumo wa ujumbe mfupi wa maandishi SMS utakaotumika kuanzia Aprili mwaka huu.

Afisa mkuu mtendaji wa KNEC David Njeng’ere, amesema hilo litapunguza changamoto za watahiniwa kukosa kukalia mitihani yao dakika za mwisho.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

KNEC: THIBITISHA USAJILI WA MWANAO

TSC YASEMA TAYARI KWA GRADE 10

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *