#Local News

UBOMOAJI MUKURU WAATHIRI WAKAAZI

Mamia ya wakaazi wa Mukuru kwa njenga eneo la Embakasi Kusini wameachwa bila makao baada ya ubomoaji wa makaazi wa eneo hilo katika kile kilchotajwa kuwa ni sehemu ya upanuzi wa barabara.

Wakaazi hao waligadhabishwa na hatua hiyo huku Gavana wa Nairobi Johnson Sakaja akijitenga na shughuli hiyo akisema Serikali ya kaunti haikutoa amri ya ubomoaji huo.

Imetayarishwa na Cyrus Sifuna

UBOMOAJI MUKURU WAATHIRI WAKAAZI

NCIC YAONYA WANASIASA KUHUSU UCHOCHEZI

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *