#Local News

UPINZANI WALALAMIKIA UHABA WA KIEMS

Tume huru ya uchaguzi na mipaka, IEBC, imetakiwa kutuma vifaa vya kutosha vya kielektroniki vya kuwasajili wapiga kura, mbali na maafisa wa kutosha ili kuhakikisha kila anayehitaji kusajiliwa anafikiwa.

Ni wito uliotolewa na viongozi wa muungano wa upinzani wanaoendeleza ziara yao katika eneo la Ukambani, wakiibua madai ya uhaba wa vifaa hivyo katika mengi ya maeneo.

Aidha, wameitaka serikali kuharakisha mchakato wa utoaji vitambulisho.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *