#Local News

OKOTH OBADO APATIKANA NA HATIA YA MAUAJI

Aliyekuwa Gavana wa Okoth Obado pamoja na washtakiwa wenzake, Michael Oyamo na Caspal Obiero, wamepatikana na hatia ya kumuua mwanafunzi wa chuo kikuu, Sharon Otieno.

Uamuzi huo unahitimisha moja ya kesi zilizovuta hisia za wengi nchini kuhusu mauaji ya Sharon Otieno.

Akitoa hukumu hiyo Alhamisi, mahakama ilisema ushahidi uliowasilishwa na upande wa mashtaka uliwaunganisha Obado, Oyamo na Obiero na mauaji hayo, na hivyo kuwapatia hatia.

Imetayarishwa na Hilda Ajema

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *